Saturday, December 20, 2008

Claudia anajinyakulia taji la Miss East Africa

Miss East Africa Claudia Nuyimana(Burundi) akivishwa taji
Miss East Africa Claudia Nuyimana wa Burundi na Mtanzania Annete Mwakaguo (kushoto) aliyechukua ushindi wa pili na mshindi wa tatu Anais Veerapatren wa Mauritius baada yakutangazwa

Ma miss kwenye pozi


Laura Grenouille na Cinderela Sanyu wakipata mbele ya halaiki


Top 5 ya Miss East Africa

Totoz wakiwa kwenye vazi la utamaduni wa Kinyarwanda








0 comments: