Sunday, August 10, 2008

Makamuzzz ya Shaggy Leaders Club

Shaggy akiwarusha wa bongo ndani ya viwanja vya Leaders Club
Shaggy akiwa stageni na mshikajia wake Revon

Shaggy hapa sijui alikua akiongea kiswazzzz??Lazima coz siku hizi ni mbongo full


Prof.Jay aliwakilisha pia

Chidi Benz alikuwepo. Pia na wasanii wengi waliwakilisha sana usiku huo wa ijumaa.



Mashabiki kama mnavyo ona hapa ilikua full


Stageni



Ilikua bonge la show kadadeki.
Picha kwa hisani ya www.michuzijr.blogspot.com


No comments: