
Shaggy akiwarusha wa bongo ndani ya viwanja vya Leaders Club

Shaggy akiwa stageni na mshikajia wake Revon

Shaggy hapa sijui alikua akiongea kiswazzzz??Lazima coz siku hizi ni mbongo full

Prof.Jay aliwakilisha pia

Chidi Benz alikuwepo. Pia na wasanii wengi waliwakilisha sana usiku huo wa ijumaa.

Mashabiki kama mnavyo ona hapa ilikua full

Stageni
Ilikua bonge la show kadadeki.
No comments:
Post a Comment