Tuesday, October 14, 2008

Today is Nyerere Day

Mwalimu katika coin ya mwaka 1984
The first President of Republic of Tanzania. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Mwili wa Mwalimu Nyerere ulipo wasili na kupokelewa Dar es Salaam na kupewa heshima za mwisho Nesho


Mwalimu alikua mtu wakawaida katika maisha yake



Mwalimu Nyerere na Rais wa kwanza wa Zanzibar Abed Amani Karume wakibadilishana hati za muungano

Mwalimu Nyerere akimix udongo wa Tanganyika na visiwa vya Pemba na Unguja then ndipo Tnazania ikazaliwa


Hii ni kati picha zinazo onyesha Mwalimu(katikati ameva short)na wana TANU.



Mwalimu akionyesha wa kwamba sasa Tanganyika iko full Independent



Mwalimu Nyerere akiwa na mzee Mandela. Hawa wazee nina wakubari sana kwa kazi walizo zifanya katika Africa ila nina sikitika sana kuona walithi wao niwagumu kuendeleza mawazo mazuri ya wazee hawa.




Mwalimu Nyerere akiwa na Rais Kennedy wa USA




Hizi picha nimezileta kwenu wadau ili tuweze kukumbuka Mwalimu wetu mpendwa Baba wa Taifa la Tanzania na Africa nzima kwa hekima aliyo kwa nayo katika uongozi wake.
Leo tunakumbuka miaka 9,Mwalimu kutuacha katika majonzi makubwa.
Nawaomba wapenzi wa blog ya Ze proudly kuzidi kuenzi Mwalimu Nyerere.




No comments: